JOHN MTAITA
Jumanne, 10 Desemba 2013
Jumatano, 4 Desemba 2013
RJ PRODUCTION IKIWA NDANI YA JIJI LA ARUSHA
Huu
ndio mwanzo wa safari ya Rj Production kuelekea Jiji Arusha kwa ajili
ya kwenda kufanya shooting ya Filamu yao mpya ya V.I.P . Kwenye filamu
hii kuna wasanii tofauti na wale ambao wameshazoeleka kila siku ni hao
hao tu. Rj imeamua kuja na ujio mpya na tofauti kabisa...
Said Mangushi (Cameraman)
Sam Shoo(wa kwanza kushoto) lightman wa Rj Company akiwa na Transport manager Salum mpingo..
Mandela J. Ongati(Editor wa Rj Company)
Safari ikiendelea..
Production manager Severyn Mbawa akiwa na mmoja ya wasanii waliocheza kwenye filamu hii Hamisa Mabeto(Alice)..
Water na Shasha
UJIO MPYA WA RJ COMPANY
The Greatest niko makini sana na kazi yangu na huwa sipendi kabisa masihara kazini.....
Jack Wolpel na Gabo wakiwa kwenye mazoezi ya kupitia scrip kwa umakini mkubwa...
Tunaitaji
kufanya mabadiliko makubwa sana katika tasnia hii yetu ya filamu kwa
kufanya kazi zetu zenye utofauti mkubwa.. Kuanzia kwenye picha na
vinginevyo vingi tu inabidi kuvifanya...
Cameraman wangu Razak Ford akiwa kazini akipiga mzigo....
Tukiwa on set nikimwelekeza mchache dada Jack Wolper jinsi ya kucheza...
On Set......
The Greatets nikiakiki picha kwenye Monitor yangu...
Vijana kazini...
Tuesday, July 23, 2013
BAD LUCK COMING SOON
Ile Sinema iliomshirikisha miss Tanzania mwaka jana Salha Israel, Muda si mrefu itaingia mtaani kwa kishindo inayokwenda kwa jina la BAD LUCK Wadau mzigo huu si wa kuukosa kama kawaida ya RJ Company uwa hawabahatishi kwenye kazi.
Staff wa RJ COMPANY wakiwa kwenye pozi kabla kazi kuanza..
Maandalizi yakianza kwa ajili ya kuupika mzigo wa BAD LUCK ambayo kwa sasa ushakamilika kwa kuingia sokoni.
Baba Haji na Johari on set hatari sana mzigo huu wadau..
Lisa pia alikuwepo maarufu kwa jina la Batuli naye yuko ndani ya mzigo wa BAD LUCK.
Director Adam Kuambiana.
Nami pia nilipita kuwaangalia vijana wangu wakifanya kazi kipindi hicho.....
Batuli bila kukosa ndani ya nyumba ni hatari sana..
Miss akifanya mambo yake kwenye Bad Luck.
Batuli na Johari wakiwa On Set..
Kazi
ni ngumu sana Location. Wakati mwingine kunakuwa na kazi ngumu sana
maana sio kazi ndogo kabisa tutieni moyo msituvunje moyo mapambano
bado yanaendelea..
Uwoya alipita location kuangalia jinsi RJ COMPANY wanavyofanya kazi.
Vijana kazini....
Esha Buheti on Set...
Tuesday, May 28, 2013
HAPPY BIRTHDAY VINCENT KIGOSI
Ilikuwa
ni sherehe ya kusheherekea siku yangu ya kuzaliwa katika maeneo fulani
katikati ya jiji.Ni siku ambayo nilisheherekea na ndugu zangu wa karibu
na wasanii wenzangu.Ni siku ambayo nimekumbuka mambo mengi sana katika
maisha yangu,mara nyingi swahiba wangu marehemu kanumba huwa nakuwaga
naye katika sherehe kama hii,lakin ndio mambo ya mungu huwezi
kulaumu,kilichobaki ni kumuombea mwenyezi mungu ampumzishe kwa amani
Amen.
Odama na Maya.
Nachelewaa....Samahanini!
The Greatest nikiwa Odama kwenye pozi..
Shamsa Ford na Mayasa.
Odama na Recheal Saguda.
Nyerere na Hashimu pia walikuwepo siku hiyo.
Mambo yakiendelea kupamba moto..
Kijana wangu Salum Mpingo(Transport Manager wa RJ).
Mamo kama haya utokeaga mara moja kwa mwaka ndio huwa watu wanafanya Sherehe
JB akiwasili.
Inno Bachard mdau wa RJ akiwa ndio anawasili.
Happy Birthday.
Nikiteta jambo na Jb...
Muda wa kupakana keki ulifika.
Hatari sana Wadau..
JB akifungua shampeni
The Greatest na Mdau namba moja wa kampuni ya RJ Inno Burchad.
Mandela na Chopa
Gambe time, wadau hivyo ndio mambo yalivyokuwa
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)